Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba unashindwa kuzifikia ndoto zako au kufanikiwa kwenye maisha yako kwa sababu umekosa ujasiri unaotakiwa. Je unafahamu kwamba ujasiri una aina tofauti? Nifuatilie hapa nikufundishe aina 6 za ujasiri ambazo lazima uwe nazo kwenye maisha.
#DrChrisMauki#Maisha#Yako.