Alhamis ya November 18, Harmonize alitua Dar akitokea Marekani alikokuwa kwenye ziara. Baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, alizungumza na waandishi wa habari na kufunguka mengi mazito kuhusu aliyofanyiwa na Diamond pamoja na uongozi wa WCB kabla na wakati akitaka kuondoka. Kwenye #Recap hii, Sky, Esko na Creez Favors wanajadili yote muhimu ambayo Harmonize ameyasema
Category
Show more
Comments - 609
Related videos for RECAP: HARMONIZE afunguka mazito ya DIAMOND, adai hapendi apitwe, azianika sauti tata za RAY VANNY: