Duration 33:4

TBC RUFIJI MUONEKANO NA TAFSIRI YA 54.3% UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME WA MAJI (JNHPP)

56 584 watched
0
248
Published 16 Aug 2021

Mradi wa kimkakati wa Bwawa la kufua umeme wa maji la Julius Nyerere katika maporomoko ya mto Rufiji eneo la Stiegler’s Gorge ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Julius Nyerere. Mpaka Juni 2021 mradi huo umefikia hatua ya ujenzi wa asilimia 54.3 ikiwa ni dalili ya nyota njema kuanza kuonekana ya Umeme wa Megawatts 2,115 ifikapo Juni 14, 2022. --------------------------------------------------- WASHIRIKI Mwongozaji - Clement Silla, Mtayarishaji - Vumilia Mwasha, Mpiga Picha - Shaban Kwaka, Msomaji Sauti - Florance Mavindi, Mhariri Picha - Clement Silla Drone - Ahmed Mbaraka -------------------------------------------------------------- Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana Play Store (Android): https://bit.ly/3kYnnsr App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii; Twitter: https://twitter.com/TBConlineTZ Instagram: https://www.instagram.com/tbc_online/ Facebook: https://www.facebook.com/TBConlineTZ

Category

Show more

Comments - 100